Sunday, November 21, 2010

Choo cha kwetu uswazi


Kwa wale wenzangu na mimi ambao ama wamewahi au wanaendelea kuishi katika vyumba vya kupanga katika maeneo yetu ya uswahilini, bila shaka wanazielewa ipasavyo adha wanazozipata na hususan pale unapowadia muda wa kwenda msalani.

Lakini kwa wale waliobahatika kuzaliwa katika familia zilizoneemeka hapa duniani, watakuwa hawanielewi ninapozungumzia adha ya vyoo vya uswahilini. Kwao vyoo ni vya kutumia maji ambayo husukuma uchafu kwa ustaarabu wa hali ya juu. Hakuna bughudha wala kinyaa chochote kwa watu hawa pindi waingiapo msalani. Hebu cheki choo hiki kilichopo karibu kabisa na katikati ya jiji Magomeni hapa halafu unambie.

1 comment:

Simon Kitururu said...

Haya maisha wee acha tu!

RAIS SAMIA AZINDUA KITUO CHA KUZALISHA UMEME CHA JULIUS NYERERE, AAGIZA UKAMILISHAJI WA MIUNDOMBINU YA KUSAFIRISHA UMEME NCHINI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi, wageni mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhur...