Saturday, June 23, 2007

Mnara wa Saa A Town



Hapa ni katikati ya jiji la Arusha maarufu kama A Town au wengine wanapaita Geneva ya Afrika mji sasa umechangamka ni matata kweli kweli, utalii umelifanya jiji kuwa hai.

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIHISTORIA URUSI, KUITANGAZA TANZANIA YA DIRA YA MAENDELEO 2050

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa w...