Saturday, June 23, 2007

KITUO CHA KIMATAIFA CHA MIKUTANO (AICC)

Hapa ndipo yalipokuwa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa ni kituo cha mikutano na kuna Makao Makuu ya Mahakama ya Kimataifa ya Rwanda (ICTR), ukumbi wa Bunge la Afrika Mashariki na ofisi nyingine kibao.

DKT. KIJAJI AIPA TANO BODI YA TAWA.

Na, Sixmund Begashe, Arusha Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), imepongezwa kwa ubunifu wake katika...