Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Mradi wa
Uchakataji Maji Taka uliopo Somangira NAFCO akiwa katika ziara ya
wilaya ya Kigamboni Mkoani Dar es salaam, Oktoba 6, 2024. Wa pili
kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Wanachama wa Jukwaa
la Wajane Wilaya ya Kigamboni ambao walijitokeza kushiriki katika tukio
la Waziri Mkuu kukagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mkoa wa Dar es
salaam eneo la Somangira NAFCO wilaya ni Kigamboni Oktoba 6, 2024.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na
Wanachama wa Jukwaa la Wajane Wilaya ya Kigamboni ambao walijitokeza
kushiriki katika tukio la Waziri Mkuu kukagua ujenzi wa Shule ya
Sekondari ya Mkoa wa Dar es salaam eneo la Somangira NAFCO wilaya ni
Kigamboni Oktoba 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi katika
viwanja vya Mjimwema akiwa katika ziara ya wilaya ya Kigamboni mkoani
Dar es salaam, Oktoba 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye Viwanja vya Mjimwema akiwa
katika ziara ya wilaya ya Kigamboni mkoani Dar es salaam, Oktoba 6,
2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...









No comments:
Post a Comment