Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Mradi wa
Uchakataji Maji Taka uliopo Somangira NAFCO akiwa katika ziara ya
wilaya ya Kigamboni Mkoani Dar es salaam, Oktoba 6, 2024. Wa pili
kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Wanachama wa Jukwaa
la Wajane Wilaya ya Kigamboni ambao walijitokeza kushiriki katika tukio
la Waziri Mkuu kukagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mkoa wa Dar es
salaam eneo la Somangira NAFCO wilaya ni Kigamboni Oktoba 6, 2024.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na
Wanachama wa Jukwaa la Wajane Wilaya ya Kigamboni ambao walijitokeza
kushiriki katika tukio la Waziri Mkuu kukagua ujenzi wa Shule ya
Sekondari ya Mkoa wa Dar es salaam eneo la Somangira NAFCO wilaya ni
Kigamboni Oktoba 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi katika
viwanja vya Mjimwema akiwa katika ziara ya wilaya ya Kigamboni mkoani
Dar es salaam, Oktoba 6, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye Viwanja vya Mjimwema akiwa
katika ziara ya wilaya ya Kigamboni mkoani Dar es salaam, Oktoba 6,
2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WANANCHI 216 WAKABIDHIWA HATI MILIKI WILAYANI MASWA
Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Simiyu, leo imeendesha zoezi la kugawa jumla ya hati miliki 216 kwa wananchi wa Wilaya ya Maswa....

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment