Monday, October 14, 2024

RAIS SAMIA ASHIRIKI MISA TAKATIFU YA KUMBUKIZI YA HAYATI BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS NYERERE

PICHA ZA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt,Samia Suluhu Hassan leo October 14,2024 ameshiriki ibada ya Misa takatifu ya kumbukizi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika Kanisa la Mt.Francis Xavier Nyakahoga Mkoani Mwanza leo October 14 2024.






 

No comments:

WANANCHI 216 WAKABIDHIWA HATI MILIKI WILAYANI MASWA

Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Simiyu, leo imeendesha zoezi la kugawa jumla ya hati miliki 216 kwa wananchi wa Wilaya ya Maswa....