Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.
Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) akihutubia kwenye Mdahalo wa kwanza wa
Amani na Usalama Afrika (APSD) ulioandaliwa na Taasisi ya Thabo Mbeki
uliofanyika jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini.Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mhe. James G. Bwana
akifuatilia Mdahalo wa kwanza wa Amani na Usalama Afrika (APSD)
ulioandaliwa na Taasisi ya Thabo Mbeki uliofanyika jijini Johannesburg,
nchini Afrika Kusini. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Afrika
katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt.
Bertha Makilagi.Rais wa zamani wa Afika Kusini Mhe. Thabo Mbeki akichangia jambo
kwenye Mdahalo wa kwanza wa Amani na Usalama Afrika (APSD) ulioandaliwa
na Taasisi ya Thabo Mbeki jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini.Mkutano ukiendelea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WANANCHI 216 WAKABIDHIWA HATI MILIKI WILAYANI MASWA
Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Simiyu, leo imeendesha zoezi la kugawa jumla ya hati miliki 216 kwa wananchi wa Wilaya ya Maswa....

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment