Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.
Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) akihutubia kwenye Mdahalo wa kwanza wa
Amani na Usalama Afrika (APSD) ulioandaliwa na Taasisi ya Thabo Mbeki
uliofanyika jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini.Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mhe. James G. Bwana
akifuatilia Mdahalo wa kwanza wa Amani na Usalama Afrika (APSD)
ulioandaliwa na Taasisi ya Thabo Mbeki uliofanyika jijini Johannesburg,
nchini Afrika Kusini. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Afrika
katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt.
Bertha Makilagi.Rais wa zamani wa Afika Kusini Mhe. Thabo Mbeki akichangia jambo
kwenye Mdahalo wa kwanza wa Amani na Usalama Afrika (APSD) ulioandaliwa
na Taasisi ya Thabo Mbeki jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini.Mkutano ukiendelea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WALIOSHINDWA KUREJESHA MAWASILIANO SOMANGA KUCHUKULIWA HATUA: ULEGA
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesisitiza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wataalam kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS) waliouhusik...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment