Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.
Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) akihutubia kwenye Mdahalo wa kwanza wa
Amani na Usalama Afrika (APSD) ulioandaliwa na Taasisi ya Thabo Mbeki
uliofanyika jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini.Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mhe. James G. Bwana
akifuatilia Mdahalo wa kwanza wa Amani na Usalama Afrika (APSD)
ulioandaliwa na Taasisi ya Thabo Mbeki uliofanyika jijini Johannesburg,
nchini Afrika Kusini. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Afrika
katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt.
Bertha Makilagi.Rais wa zamani wa Afika Kusini Mhe. Thabo Mbeki akichangia jambo
kwenye Mdahalo wa kwanza wa Amani na Usalama Afrika (APSD) ulioandaliwa
na Taasisi ya Thabo Mbeki jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini.Mkutano ukiendelea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...






No comments:
Post a Comment