Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.
Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) akihutubia kwenye Mdahalo wa kwanza wa
Amani na Usalama Afrika (APSD) ulioandaliwa na Taasisi ya Thabo Mbeki
uliofanyika jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini.Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mhe. James G. Bwana
akifuatilia Mdahalo wa kwanza wa Amani na Usalama Afrika (APSD)
ulioandaliwa na Taasisi ya Thabo Mbeki uliofanyika jijini Johannesburg,
nchini Afrika Kusini. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Afrika
katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt.
Bertha Makilagi.Rais wa zamani wa Afika Kusini Mhe. Thabo Mbeki akichangia jambo
kwenye Mdahalo wa kwanza wa Amani na Usalama Afrika (APSD) ulioandaliwa
na Taasisi ya Thabo Mbeki jijini Johannesburg, nchini Afrika Kusini.Mkutano ukiendelea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...






No comments:
Post a Comment