Thursday, November 02, 2017

WASIMAMIZI WA MIRADI WACHAGIZWA KUOANISHA MIKAKATI NA UTEKELEZAJI MIRADI ILI KUWA NA UFANISI BORA

 
Mkurugenzi wa Ubunifu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Issack Peter akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Empower, Miranda Naiman wakati wa mkutano wa mwaka wa wana taaluma katika uwanja wa usimamizi wa miradi ulioandaliwa na Taasisi ya Usimamizi wa Miradi (PMI) uliofanyika katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro leo mchana uliokuwa na mada kuu uoanishaji wa Mipango mkakati katika utekelezaji wa miradi.



Mkurugenzi wa Ubunifu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Issack Peter  akiwa na kundi la wazungumzaji waliochaguliwa kuwa wasemaji wakuu katika majadiliano ya uoanishwaji wa utekelezaji miradi na mipango mikakati wakati wa mkutano wa mwaka wa wana taaluma katika uwanja wa usimamizi wa miradi ulioandaliwa na Taasisi ya Usimamizi wa Miradi (PMI) uliofanyika katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro leo mchana.
Sehemu ya Wanataaluma wa Usimamizi Miradi wakifuatilia mijadala wakati wa mkutano wa mwaka wa wana taaluma katika uwanja wa usimamizi wa miradi ulioandaliwa na Taasisi ya Usimamizi wa Miradi (PMI) uliofanyika katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro leo mchana.
Mkurugenzi wa Ubunifu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Issack Peter  akijadili hoja akiwa na kundi la wazungumzaji waliochaguliwa kuwa wasemaji wakuu katika majadiliano ya uoanishwaji wa utekelezaji miradi na mipango mikakati wakati wa mkutano wa mwaka wa wana taaluma katika uwanja wa usimamizi wa miradi ulioandaliwa na Taasisi ya Usimamizi wa Miradi (PMI) uliofanyika katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro leo mchana.

Kundi la wazungumzaji waliochaguliwa kuwa wasemaji wakuu katika majadiliano ya uoanishwaji wa utekelezaji miradi na mipango mikakati katika picha ya pamoja na viongozi wa Taasisi ya Usimamizi wa Miradi (PMI) wakati wa mkutano wa mwaka wa wana taaluma katika uwanja wa usimamizi wa miradi.Meneja Miradi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Etheldreder Koppa abadilishana mawasiliano na Mkurugenzi wa Mkazi wa Shirika la TradeMark East Afrika (TMEA) Bw. John Ulanga wakati wa mkutano huo.



Viongozi wa Taasisi ya Usimamizi wa Miradi (PMI) katika picha ya pamoja na Washiriki kutoka katika Shirika la Nyumba la Taifa wakati wa mkutano wa mwaka wa wana taaluma katika uwanja wa usimamizi wa miradi 

No comments: