Thursday, November 02, 2017

MKUU WA WILAYA YA MONDULI, NDUGU IDD KIMANTA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA HUDUMA ZA KIBENKI


Mkuu wa wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha,Idd Kimanta(kushoto) akizungumza na Mameneja wa benki ya NMB mara baada ya kuwasili eneo la Mto wa Mbu kufungua tawi jipya litakalowahudumia wanaochi na taasisi mbalimbali,kutoka kushoto ni Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini,Saria Mlay,Meneja wa tawi la Mto wa Mbu,Happiness Patrick,Meneja wa tawi la Clock Tower,Manyolizu Masanja ,Meneja wa tawi la Business Center,Said Parseko na Meneja wa tawi la Karatu,Elizabeth Chawinga

Mkuu wa wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha,Idd Kimanta  akizungumza wakati wa ufunguzi wa tawi la benki ya NMB eneo la Mto wa Mbu ambalo linachangia asilimia 70 ya mapato yote ya wilaya hiyo.
Baadhi ya mameneja waliohudhuria uzinduzi wa tawi la Mto wa Mbu wilayani Monduli.
Mkuu wa wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha,Idd Kimanta  akizindua tawi la benki ya NMB eneo la Mto wa Mbu kushoto ni Meneja wa NMB kanda ya Kaskazini,Saria Mlay na Meneja wa tawi hilo,Happiness Patrick.
Mkuu wa wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha,Idd Kimanta  akipata huduma za kibenki kwenye tawi jipya baada ya uzinduzi .
Baadhi ya mameneja waliohudhuria uzinduzi wa tawi la Mto wa Mbu wilayani Monduli wakibadilishana mawazo.
Burudani ya ngoma kutoka kundi la Maasai Simba ikitumbuiza.

No comments: