Thursday, November 16, 2017

TAARIFA YA AJALI YA NDEGE YA COASTAL AVIATION ILIYOTOKEA JANA

Baadhi ya Wananchi wakishuhudia ajali katika eneo la Empakai ilipotokea ajali ya ndege ya Coastal Aviation jana mkoani Arusha,ambapo katika ajali hiyo imethibitishwa kuwa watu 11 walipoteza maisha

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...