Wednesday, November 02, 2011

Sikukuu ya Eid El Haji

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

YAH: SIKUKU YA EID EL HAJI

Tarehe 6 Novemba 2011 Jumapili ni sikukuu ya Eid El Haji sawa na mwezi 10 Dhul Hijja 1432.

Kwa mujibu wa Kaimu Mufti wa Tanzania, Sheikh Muhidini Mkoyongore, Swala ya Eid Kitaifa itaswaliwa katika Masjid Al Farouq iliyoko BAKWATA Makao Makuu, kuanzia saa 1.30 asubuhi ikifuatiwa na Baraza la Eid.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inawatakia waumini wote wa dini ya Kiislam Eid njema na yenye upendo, amani na utuivu.

1 comment:

mashaka said...

Mh kama ilikua julai o6 mbona watufakisha leo November

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...