Wednesday, November 02, 2011

Sikukuu ya Eid El Haji

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

YAH: SIKUKU YA EID EL HAJI

Tarehe 6 Novemba 2011 Jumapili ni sikukuu ya Eid El Haji sawa na mwezi 10 Dhul Hijja 1432.

Kwa mujibu wa Kaimu Mufti wa Tanzania, Sheikh Muhidini Mkoyongore, Swala ya Eid Kitaifa itaswaliwa katika Masjid Al Farouq iliyoko BAKWATA Makao Makuu, kuanzia saa 1.30 asubuhi ikifuatiwa na Baraza la Eid.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inawatakia waumini wote wa dini ya Kiislam Eid njema na yenye upendo, amani na utuivu.

1 comment:

mashaka said...

Mh kama ilikua julai o6 mbona watufakisha leo November

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...