Friday, November 25, 2011

Benki ya Diamond Trust yafungua tawi la 13 jijini Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mheshimiwa Abbas Kandoro akizindua Tawi la kumi na tatu la Benki ya Diamond Trust lililopo makutano ya Barabara za Lupa na Market mkoani Mbeya.

Tawi la kumi na tatu la Benki ya Diamond Trust lililopo makutano ya Barabara za Lupa na Market mkoani Mbeya.


No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...