Friday, November 25, 2011

Benki ya Diamond Trust yafungua tawi la 13 jijini Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mheshimiwa Abbas Kandoro akizindua Tawi la kumi na tatu la Benki ya Diamond Trust lililopo makutano ya Barabara za Lupa na Market mkoani Mbeya.

Tawi la kumi na tatu la Benki ya Diamond Trust lililopo makutano ya Barabara za Lupa na Market mkoani Mbeya.


No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...