Friday, November 25, 2011

Benki ya Diamond Trust yafungua tawi la 13 jijini Mbeya

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mheshimiwa Abbas Kandoro akizindua Tawi la kumi na tatu la Benki ya Diamond Trust lililopo makutano ya Barabara za Lupa na Market mkoani Mbeya.

 Tawi la kumi na tatu la Benki ya Diamond Trust lililopo makutano ya Barabara za Lupa na Market mkoani Mbeya.



No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...