Monday, November 28, 2011

NMB yazindua Kituo cha Biashara Arusha

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akizindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NMB mkoani Arusha jana. Wengine wanaoshuhudia kutoka kushoto ni CEO wa NMB, Mark Wiessing, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema. (Picha na Mpigapicha wetu).
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akipeana mkono wa shukrani na CEO wa Benki ya NMB, Mark Wiessing (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga baada ya kuzindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NMB mkoani Arusha jana. Kushoto ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema. (Picha na Mpigapicha wetu).
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akifurahi baada ya kuzindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NMB mkoani Arusha jana. Wengine wanaoshuhudia kutoka kulia ni CEO wa Benki ya NMB, Mark Wiessing, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga na kushoto ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema. (Picha na Mpigapicha wetu)

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akisoma kibao cha uzinduzi mara baada ya kuzindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NMB mkoani Arusha jana. Wengine wanaoshuhudia kutoka kulia ni CEO wa Benki ya NMB, Mark Wiessing, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga na kushoto ni Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema. (Picha na Mpigapicha wetu).

No comments: