Saturday, November 26, 2011

Mdau Amin Yasin ahitimu Degree yake OUT


Rais Mstaafu wa awamu ya pili Ally Hassan Mwinyi( kulia)akitunukiwa Shahada ya heshima ya salfasaya udaktari na mkuu wa chuo kikuu huria cha Tanzania John Malechela kwenye mahafari ya 23 ya chuo hicho yaliyofanyika janakatika viwanja vya chuo hichokilichoko Bungo Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani

Mwandishi wa Habari wa gazeti hili Amini Yasini (kulia ) akiwa na wahitimu wenzake katika mahafari ya 23 ya chuo kikuu huria cha Tanzania muda mfupi kabla ya kutunukiwa shahada ya kwanza katika sayansi ya jamii na utawala ya chuo hicho jana wa katikati ni mwandishi wa habari Mwanzo Milinga na kushoto ni Emanuel Onyango PICHA ZOTE NA SANJITO MSAFIRI

Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi Communication Ltd Amini Yasini (kushoto) ambaye pia ni Afisa mtendaji wa kata ya Chumbi iliyoko Wilayani Rufiji Mkoani Pwani akifurahi na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Mchinga Mudhihir Mohammed Mudhihir muda mfupi mara baada ya kutunukiwa shahada ya kwanza katika sayansi ya jamii na utawala ya chuo kikuu huria cha Tanzania ambapo mahafari hayo ya 23 ya chuo hicho yalifanyika jana katika viwanja vya chuo hicho kilichoko Bungo Mjini Kibaha Mkoani Pwani.

2 comments:

Vimax Pills said...

nice blog and good information

Obat Vimax said...

thanks for sharing