Tuesday, November 08, 2011

JK awaandalia dhifa ya kitaifa Prince Charles na Duchess of Cornwall

Rais Dkt Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa na wageni wao Prince Charles na Duchess of Cornwall katika dhifa ya kitaifa waliyoandaa kwa heshima ya mtoto huyo wa Malkia wa Uingereza na mkewe usiku huu Ikulu jijini Dar es salaam.

Prince Charles akisalimiana na binti wa Rais Kikwete wakati wa hafla hiyo
Glasi zikigongwanishwa meza kuu.
Rais Jakaya Kikwete akisalimia baadhi ya maofisa walioongozana na Prince Charles
Ngoma za utamaduni zilirindima katika hafla hiyo
Rais Jakaya Kikwete akiongea na Sir Andy Chande
Katibu Mkuu Kiongozi Mh Philemon Luhanjo (kushoto) akiwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar Dkt Mwinyihaji Makame na Balozi wa Tanzania nchuni Uingereza Mh Peter Kallaghe katika dhifa hiyo
Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo (kushoto) akiongea na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu Balozi Paul Rupia

Mkuu wa Majeshi ya Tanzania Jenerali Davies Mwamunyange akiongea na Brigedia Potts na Ms Dinah Potts kwenye hafla hiyo


Katibu Mkuu Kiongozi Mh Philemon Luhanjo (kushoto) akiwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Zanzibar Dkt Mwinyihaji Makame na Balozi wa Tanzania nchuni Uingereza Mh Peter Kallaghe katika dhifa hiyo

No comments: