Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Mahalu, akitoka kizimbani ambapo alipandishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, kwa makosa sita ya uhujumu uchumi, wizi na kusababisha hasara ya zaidi ya Sh2 bilioni. Picha ya Deus Mhagale.
Monday, January 22, 2007
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
- 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
 - 
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
 - 
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
 
2 comments:
Naombea siku wezi kama hawa watakapo kuwa wanafungika. Inasikitisha kuwa muiba vitumbua mtaani anapigwa mpaka afe lakini wezi kama hawa na kama pesa hiyo anayosehemu anaweza akajinunulia uhuru ata akifungwa.
It's the best time to make a few plans for the longer term and it's time to be hаppy.
I've learn this put up and if I may just I want to suggest you few interesting things or suggestions. Maybe you can write subsequent articles regarding this article. I want to learn more things approximately it!
my web site: bravesites.com
Here is my web page - iphone repair
Post a Comment