Monday, January 08, 2007

Rais Kikwete na mstaafu Mkapa


Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa. Nchi nyingine ni nadra sana kufanya hivi, akimaliza madaraka Rais anakuwa na mgogoro na anayefuata.

2 comments:

mloyi said...

Inapendeza, kuwaona wanakaa pamoja wakipeana mawaidha. Tutafurahi kama mawaidha yenyewe yakiwa na pale Mhe. Mkapa alipokosea amfanye Kikwete naye asitumbukie hapohapo.

Mjengwa said...

Picha hii nzuri!

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...