Monday, January 08, 2007

Rais Kikwete na mstaafu Mkapa


Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa. Nchi nyingine ni nadra sana kufanya hivi, akimaliza madaraka Rais anakuwa na mgogoro na anayefuata.

2 comments:

mloyi said...

Inapendeza, kuwaona wanakaa pamoja wakipeana mawaidha. Tutafurahi kama mawaidha yenyewe yakiwa na pale Mhe. Mkapa alipokosea amfanye Kikwete naye asitumbukie hapohapo.

Mjengwa said...

Picha hii nzuri!

UTAFITI MIAMBA BONDE LA EYASI WEMBERE WATHIBITISHA UWEZEKANO WA UPATIKANAJI MAFUTA

📌 *Dkt Mataragio akagua shughuli za utafiti na kutoa maelekezo kwa TPDC/AGS*  📌 *Awamu ya  pili ya utafiti kukamilika Aprili 2026.*   *📌A...