
Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa. Nchi nyingine ni nadra sana kufanya hivi, akimaliza madaraka Rais anakuwa na mgogoro na anayefuata.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
2 comments:
Inapendeza, kuwaona wanakaa pamoja wakipeana mawaidha. Tutafurahi kama mawaidha yenyewe yakiwa na pale Mhe. Mkapa alipokosea amfanye Kikwete naye asitumbukie hapohapo.
Picha hii nzuri!
Post a Comment