Thursday, January 11, 2007

Doha moja kwa moja hadi Bongo


Pichani dege la Quartar Airlines lenye uwezo wa kubeba watu 110 sasa linafanya safari za moja kwa moja toka Doha hadi Dar mara nne kwa wiki. Karibuni Bongo usafiri simple sasa. Picha ya Deus Mhagale.

2 comments:

Simon Kitururu said...

Natamani siku Ndege zenye nembo Air Tanzania zitakapo kuwa za kawaida katika viwanja vingi nje ya Tanzania.

Anonymous said...

Roho inaniuma sana kuona uwanja wetu wa ndege unafunikwa na ndege kibao za Kenya Airways.Ni wakati sasa kwa serikali yetu kuifufua upya Tanzania Airways.