
Pichani dege la Quartar Airlines lenye uwezo wa kubeba watu 110 sasa linafanya safari za moja kwa moja toka Doha hadi Dar mara nne kwa wiki. Karibuni Bongo usafiri simple sasa. Picha ya Deus Mhagale.
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
2 comments:
Natamani siku Ndege zenye nembo Air Tanzania zitakapo kuwa za kawaida katika viwanja vingi nje ya Tanzania.
Roho inaniuma sana kuona uwanja wetu wa ndege unafunikwa na ndege kibao za Kenya Airways.Ni wakati sasa kwa serikali yetu kuifufua upya Tanzania Airways.
Post a Comment