
Pichani dege la Quartar Airlines lenye uwezo wa kubeba watu 110 sasa linafanya safari za moja kwa moja toka Doha hadi Dar mara nne kwa wiki. Karibuni Bongo usafiri simple sasa. Picha ya Deus Mhagale.
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
2 comments:
Natamani siku Ndege zenye nembo Air Tanzania zitakapo kuwa za kawaida katika viwanja vingi nje ya Tanzania.
Roho inaniuma sana kuona uwanja wetu wa ndege unafunikwa na ndege kibao za Kenya Airways.Ni wakati sasa kwa serikali yetu kuifufua upya Tanzania Airways.
Post a Comment