
Pichani dege la Quartar Airlines lenye uwezo wa kubeba watu 110 sasa linafanya safari za moja kwa moja toka Doha hadi Dar mara nne kwa wiki. Karibuni Bongo usafiri simple sasa. Picha ya Deus Mhagale.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...
2 comments:
Natamani siku Ndege zenye nembo Air Tanzania zitakapo kuwa za kawaida katika viwanja vingi nje ya Tanzania.
Roho inaniuma sana kuona uwanja wetu wa ndege unafunikwa na ndege kibao za Kenya Airways.Ni wakati sasa kwa serikali yetu kuifufua upya Tanzania Airways.
Post a Comment