Monday, January 15, 2007

Mama Migiro safarini

Kuna mdau mmoja alibahatika kusafiri ndege moja na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk. Asha-Rose Migiro, na huu ndo ulikuwa ujumbe wake katika safari hiyo kama nilivyoukuta katika kwa kubonya hapa: ina headline ACHA HIZO MRS MIGIRO

Mama Migiro hongera sana kwa kuteuliwa kuwa deputy UN sec. general. Lakini kitendo chako cha kuichelewesha KLM for more than one hour pale DIA eti unagoma na unatia mkwara ndege isiondoke kisa one of your staff aliekuwa akiku-accompany awe upgraded to business class la sivyo ndege haiondoki sio cha kiungwana kabisa. Maskini ilibidi abiria mmoja wa business class ajitolee kukaa economy ndio staff wako akenda b-class na ndege ikaondoka but tukachelewa for more than one hour. bila hivyo sijui ingekuwaje.
Mbona nimepanda ndege mara nyingi tu na former prezo Clinton from DC-JFK tena anakaa economy?
be careful kwani hata NYC mayor tunapanda nae subway on top of that he's a billionaire.
Jamaa anaitwaDaddy Yankee

No comments: