WIKI hii kwa hakika sisi wavuja jasho, wafyeka nyasi na wasaka nyoka; (usishangae haya yote ni majina yetu sisi tusio na kitu na tusio na pa kuegemea), tulipata taarifa ambayo ilitufanya tushushe pumzi.
Taarifa hii, ilitufanya tushushe pumzi si kwa sababu tumezinduka, bali pia ni kwa sababu tumestuka na kuanza kuona 'heehh hivi tunayoyashuhudia ni ya kweli au tunaota ndoto au ni jinamizi?
Kwa hakika imetustua, kwa sababu hakuna miongoni mwetu aliyetarajia 'mabwana wakubwa' hawa wanaweza eti kukamatwa wakafikishwa kizimbani tena mbele ya hakimu.
Taarifa yenyewe ni hii ya utata wa ulaji wa pesa za ujenzi wa jengo la ubalozi kule Italia. Wiki hii aliyekuwa Balozi wetu ambaye pia ni Profesa, alipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo, kama ni za kweli au la. Sizungumzii uhalali au uharamu wake. Soma zaidi kwa kubonya hapa:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment