WIKI hii kwa hakika sisi wavuja jasho, wafyeka nyasi na wasaka nyoka; (usishangae haya yote ni majina yetu sisi tusio na kitu na tusio na pa kuegemea), tulipata taarifa ambayo ilitufanya tushushe pumzi.
Taarifa hii, ilitufanya tushushe pumzi si kwa sababu tumezinduka, bali pia ni kwa sababu tumestuka na kuanza kuona 'heehh hivi tunayoyashuhudia ni ya kweli au tunaota ndoto au ni jinamizi?
Kwa hakika imetustua, kwa sababu hakuna miongoni mwetu aliyetarajia 'mabwana wakubwa' hawa wanaweza eti kukamatwa wakafikishwa kizimbani tena mbele ya hakimu.
Taarifa yenyewe ni hii ya utata wa ulaji wa pesa za ujenzi wa jengo la ubalozi kule Italia. Wiki hii aliyekuwa Balozi wetu ambaye pia ni Profesa, alipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo, kama ni za kweli au la. Sizungumzii uhalali au uharamu wake. Soma zaidi kwa kubonya hapa:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment