Wafanyakazi waandamizi wa Shirika la Nyumba la Taifa wamehitimu shahada zao za Uzamili za Kozi mbalimbali za Chuo Kikuu cha Mzumbe ambapo Veronica Mtemi ametunukiwa Shahada ya Uzamili ya Utawala (Master in Public Administration), Michael Chilongani ametunukiwa Master in Procurement and Supply Chain Management na Ritha Mokimirya ametunukiwa Master of Business Administration in Corporate Management.
Subira Nkato ametunukiwa Master of Business Administration in Corporate Management katika mahafali ya 17 ya Chuo kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam, yaliyofanyika tarehe 30 Novemba 2018, katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere International Convention Centre
Veronica Mtemi ametunukiwa Shahada ya Uzamili ya Utawala (Master in Public Administration), Michael Chilongani ametunukiwa Master in Procurement and Supply Chain Management na Ritha Mokimirya ametunukiwa Master of Business Administration in Corporate Management.
Mkadiriaji Majenzi Benedictor Wazaelly ametunukiwa shahada ya uzamili ya Sayansi ya Chuo cha IFM ya MSc in Finance and Investment.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC CHALAMILA ATOA SIKU SABA KWA MUAFAKA WA MGOGORO WA ARDHI TOANGOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, ametoa muda wa siku saba kwa wadau wanaohusika na mgogoro wa muda mrefu wa ardhi katik...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...




2 comments:
louboutin outlet
adidas tubular
vans shoes
kyrie 5
calvin klein outlet
yeezy 500 blush
russell westbrook shoes
nike shox for women
yeezy shoes
goyard bags
replica bags high quality replica bags high quality replica nappy bags
Post a Comment