Thursday, November 29, 2018

UONGOZI WA CRDB WATEMBELEA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA, WAJADILIANA MASUALA MBALIMBALI

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dk. Maulidi Banyani  akimkaribisha ofisini kwake Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Abdulmajid Mussa Nsekela ambaye alifika makao makuu ya NHC na Watendaji wake wakuu kuzungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ujenzi wa makao makuu mapya ya Benki ya CRDB yanayojengwa na NHC eneo la Palm Beach. Wakurugenzi hao kwa pamoja wameeleza kufurahishwa na michakato na mahusiano ya taasisi hizo mbili kubwa nchini kwenda vizuri.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dk. Maulidi Banyani  akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Abdulmajid Mussa Nsekela.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dk. Maulidi Banyani  akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Abdulmajid Mussa Nsekela.


Jengo la Makao Makuu mapya ya Benki ya CRDB yanayojengwa na NHC eneo la Palm Beach linavyoonekana kwa sasa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Abdulmajid Mussa Nsekela akitia saini kitabu cha wageni huku Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dk. Maulidi Banyani akishuhudia na Watendaji wakuu wa NHC na CRDB. 
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dk. Maulidi Banyani   akimkaribisha Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Esther Kitoka wakati uongozi wa CRDB ulipofika NHC kujadiliana masuala mbalimbali ya kiushirikiano.

Mkutano baina ya viongozi wakuu waandamizi wa benki ya CRDB na wale wa NHC ukiendelea kwenye makao makuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) , Kambarage House

 Mkutano baina ya viongozi wakuu waandamizi wa benki ya CRDB na wale wa NHC ukiendelea kwenye makao makuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) , Kambarage House
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Abdulmajid Mussa Nsekela akifafanua jambo kwenye mkutano huo huku Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dk. Maulidi Banyani akifuatilia. 

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndugu Abdulmajid Mussa Nsekela akifafanua jambo kwenye mkutano huo huku Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dk. Maulidi Banyani akifuatilia. Picha ya pamoja baada ya Mkutano baina ya viongozi wakuu waandamizi wa benki ya CRDB na wale wa NHC ukiendelea kwenye makao makuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) , Kambarage House. 
  Picha ya pamoja baada ya Mkutano baina ya viongozi wakuu waandamizi wa benki ya CRDB na wale wa NHC ukiendelea kwenye makao makuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) , Kambarage House

No comments: