Saturday, November 24, 2018

MKURUGENZI MKUU NHC AAGIZA WIKI YA MWISHO YA KILA MWEZI KUWA YA MAZOEZI

 Mazoezi ya viungo yakiendelea baada ya matembezi ya hisani yaliyofanyika kutokea Chuo Kikuu Ardhi mpaka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kurudi Chuo Kikuu Ardhi.

Mazoezi ya viungo yakiendelea baada ya matembezi ya hisani yaliyofanyika kutokea Chuo Kikuu Ardhi mpaka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kurudi Chuo Kikuu Ardhi.
 Matembezi ya Hisani ya kilomita tano (5) ya Kusanyiko la Waliowahi kuhitimu na wanaokitakia mema Chuo Kikuu cha Ardhi yamefanyika leo (Jumamosi)  matembezi yameanza saa kumi na mbili asubuhi kwenye jengo la utawala la Chuo Kikuu Ardhi hadi Container na Dispensary Chuo kikuu DSM na kurudi ARU Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wameshiriki kikamilifu  Mkurugenzi Mkuu Dk. Maulidi Banyani ameagiza kwamba mazoezi na matembezi ya namna hii  sasa yatakuwa ni lazima kila mwezi mara moja na itaitishwa roll call ili kuhakikisha ushiriki na kuimarisha afya za wafanyakazi.















Matembezi ya Hisani ya kilomita tano (5) ya Kusanyiko la Waliowahi kuhitimu na wanaokitakia mema Chuo Kikuu cha Ardhi yamefanyika leo (Jumamosi)  matembezi yameanza saa kumi na mbili asubuhi kwenye jengo la utawala la Chuo Kikuu Ardhi hadi Container na Dispensary Chuo kikuu DSM na kurudi ARU Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wameshiriki kikamilifu  Mkurugenzi Mkuu Dk. Maulidi Banyani ameagiza kwamba mazoezi na matembezi ya namna hii  sasa yatakuwa ni lazima kila mwezi mara moja na itaitishwa roll call ili kuhakikisha ushiriki na kuimarisha afya za wafanyakazi.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...