Mazoezi ya viungo yakiendelea baada ya matembezi ya hisani yaliyofanyika kutokea Chuo Kikuu Ardhi mpaka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kurudi Chuo Kikuu Ardhi.
Mazoezi ya viungo yakiendelea baada ya matembezi ya hisani yaliyofanyika kutokea Chuo Kikuu Ardhi mpaka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kurudi Chuo Kikuu Ardhi.
Matembezi ya Hisani ya kilomita tano (5) ya Kusanyiko la Waliowahi kuhitimu na wanaokitakia mema Chuo Kikuu cha Ardhi yamefanyika leo (Jumamosi) matembezi yameanza saa kumi na mbili asubuhi kwenye jengo la utawala la Chuo Kikuu Ardhi hadi Container na Dispensary Chuo kikuu DSM na kurudi ARU Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wameshiriki kikamilifu Mkurugenzi Mkuu Dk. Maulidi Banyani ameagiza kwamba mazoezi na matembezi ya namna hii sasa yatakuwa ni lazima kila mwezi mara moja na itaitishwa roll call ili kuhakikisha ushiriki na kuimarisha afya za wafanyakazi.
Matembezi ya Hisani ya kilomita tano (5) ya Kusanyiko la Waliowahi kuhitimu na wanaokitakia mema Chuo Kikuu cha Ardhi yamefanyika leo (Jumamosi) matembezi yameanza saa kumi na mbili asubuhi kwenye jengo la utawala la Chuo Kikuu Ardhi hadi Container na Dispensary Chuo kikuu DSM na kurudi ARU Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wameshiriki kikamilifu Mkurugenzi Mkuu Dk. Maulidi Banyani ameagiza kwamba mazoezi na matembezi ya namna hii sasa yatakuwa ni lazima kila mwezi mara moja na itaitishwa roll call ili kuhakikisha ushiriki na kuimarisha afya za wafanyakazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...




















No comments:
Post a Comment