Saturday, November 24, 2018

MKURUGENZI MKUU NHC AAGIZA WIKI YA MWISHO YA KILA MWEZI KUWA YA MAZOEZI

 Mazoezi ya viungo yakiendelea baada ya matembezi ya hisani yaliyofanyika kutokea Chuo Kikuu Ardhi mpaka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kurudi Chuo Kikuu Ardhi.

Mazoezi ya viungo yakiendelea baada ya matembezi ya hisani yaliyofanyika kutokea Chuo Kikuu Ardhi mpaka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kurudi Chuo Kikuu Ardhi.
 Matembezi ya Hisani ya kilomita tano (5) ya Kusanyiko la Waliowahi kuhitimu na wanaokitakia mema Chuo Kikuu cha Ardhi yamefanyika leo (Jumamosi)  matembezi yameanza saa kumi na mbili asubuhi kwenye jengo la utawala la Chuo Kikuu Ardhi hadi Container na Dispensary Chuo kikuu DSM na kurudi ARU Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wameshiriki kikamilifu  Mkurugenzi Mkuu Dk. Maulidi Banyani ameagiza kwamba mazoezi na matembezi ya namna hii  sasa yatakuwa ni lazima kila mwezi mara moja na itaitishwa roll call ili kuhakikisha ushiriki na kuimarisha afya za wafanyakazi.















Matembezi ya Hisani ya kilomita tano (5) ya Kusanyiko la Waliowahi kuhitimu na wanaokitakia mema Chuo Kikuu cha Ardhi yamefanyika leo (Jumamosi)  matembezi yameanza saa kumi na mbili asubuhi kwenye jengo la utawala la Chuo Kikuu Ardhi hadi Container na Dispensary Chuo kikuu DSM na kurudi ARU Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wameshiriki kikamilifu  Mkurugenzi Mkuu Dk. Maulidi Banyani ameagiza kwamba mazoezi na matembezi ya namna hii  sasa yatakuwa ni lazima kila mwezi mara moja na itaitishwa roll call ili kuhakikisha ushiriki na kuimarisha afya za wafanyakazi.

No comments:

WANANCHI 216 WAKABIDHIWA HATI MILIKI WILAYANI MASWA

Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Simiyu, leo imeendesha zoezi la kugawa jumla ya hati miliki 216 kwa wananchi wa Wilaya ya Maswa....