Monday, November 26, 2018

NHC KUJENGA MAJENGO MATANO YA WIZARA KATI YA 22 ZINAZOJENGWA MJI WA SERIKALI DODOMA

Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na wale wa Wizara ya Fedha na Mipango wakikabidhiana eneo kutakakojengwa ofisi za muda za Wizara ya Fedha, katika eneo hilo Serikali inajenga ofisi za muda za Wizara 22 . NHC imepewa kujenga majengo matano ya Wizara. Leo Shirika la Nyumba limekabidhiwa eneo la Wizara ya Fedha na Mipango. Mji huo huo wa Serikali unajengwa eneo la Mtumba katika Kata ya Mtumba, Tarafa ya Kikombo, lina ekari 1,524 sawa na hekta 617 na lipo umbali wa kilometa 30 nje kidogo ya mji wa Dodoma. Mpaka kukamilika kwake ujenzi unatarajia kuchukua miaka 10 na kugharimu Sh trilioni 10.
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NC) na wale wa Wizara ya Fedha na Mipango wakikagua eneo kutakakojengwa ofisi za muda za Wizara ya Fedha, katika eneo hilo Serikali inajenga ofisi za muda za Wizara 22 .
Msafara wa magari ya Shirika la Nyumba la Taifa (NC) na wa Wizara ya Fedha na Mipango wakati wa makabidhiano ya eneo kutakakojengwa ofisi za muda za Wizara ya Fedha, katika eneo hilo Serikali inajenga ofisi za muda za Wizara 22 .

Picha ya pamoja ya watumishi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NC) na wa Wizara ya Fedha na Mipango wakati wa makabidhiano ya eneo kutakakojengwa ofisi za muda za Wizara ya Fedha, katika eneo hilo Serikali inajenga ofisi za muda za Wizara 22 .
Picha ya pamoja ya watumishi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NC) na wa Wizara ya Fedha na Mipango wakati wa makabidhiano ya eneo kutakakojengwa ofisi za muda za Wizara ya Fedha, katika eneo hilo Serikali inajenga ofisi za muda za Wizara 22 .

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...