Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani kwenye Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha leo.
Waziri amefurahishwa na michakato mbalimbali inayoendelea ndani ya Shirika na ameagiza jitihada zaidi zifanyike ili kuwa na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwaajili ya Watanzania wengi zaidi. Kufuatilia mikataba yote ya Shirika iwe na maslahi kwa Taifa.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani kwenye Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha leo.
Waziri amefurahishwa na michakato mbalimbali inayoendelea ndani ya Shirika na ameagiza jitihada zaidi zifanyike ili kuwa na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwaajili ya Watanzania wengi zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI
KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
1 comment:
replica bags paypal my response z2u92z4q77 replica bags turkey replica bags koh samui replica gucci d7f61e7q59 replica bags replica bags on amazon hermes replica w4d58h6g68 replica prada nylon bags
Post a Comment