Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani kwenye Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha leo.
Waziri amefurahishwa na michakato mbalimbali inayoendelea ndani ya Shirika na ameagiza jitihada zaidi zifanyike ili kuwa na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwaajili ya Watanzania wengi zaidi. Kufuatilia mikataba yote ya Shirika iwe na maslahi kwa Taifa.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani kwenye Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha leo.
Waziri amefurahishwa na michakato mbalimbali inayoendelea ndani ya Shirika na ameagiza jitihada zaidi zifanyike ili kuwa na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwaajili ya Watanzania wengi zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
replica bags paypal my response z2u92z4q77 replica bags turkey replica bags koh samui replica gucci d7f61e7q59 replica bags replica bags on amazon hermes replica w4d58h6g68 replica prada nylon bags
Post a Comment