Friday, November 16, 2018

WAZIRI LUKUVI AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA NHC

 Waziri wa Ardhi,  Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,  Dk.  Maulidi Banyani kwenye Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha leo.
Waziri amefurahishwa na michakato mbalimbali inayoendelea ndani ya Shirika na ameagiza jitihada zaidi zifanyike ili kuwa na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwaajili ya Watanzania wengi zaidi. Kufuatilia mikataba yote ya Shirika iwe na maslahi kwa Taifa.


Waziri wa Ardhi,  Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa,  Dk.  Maulidi Banyani kwenye Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha leo.
Waziri amefurahishwa na michakato mbalimbali inayoendelea ndani ya Shirika na ameagiza jitihada zaidi zifanyike ili kuwa na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwaajili ya Watanzania wengi zaidi.

1 comment:

Anonymous said...

replica bags paypal my response z2u92z4q77 replica bags turkey replica bags koh samui replica gucci d7f61e7q59 replica bags replica bags on amazon hermes replica w4d58h6g68 replica prada nylon bags

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...