Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani kwenye Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha leo.
Waziri amefurahishwa na michakato mbalimbali inayoendelea ndani ya Shirika na ameagiza jitihada zaidi zifanyike ili kuwa na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwaajili ya Watanzania wengi zaidi. Kufuatilia mikataba yote ya Shirika iwe na maslahi kwa Taifa.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani kwenye Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha leo.
Waziri amefurahishwa na michakato mbalimbali inayoendelea ndani ya Shirika na ameagiza jitihada zaidi zifanyike ili kuwa na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwaajili ya Watanzania wengi zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...




1 comment:
replica bags paypal my response z2u92z4q77 replica bags turkey replica bags koh samui replica gucci d7f61e7q59 replica bags replica bags on amazon hermes replica w4d58h6g68 replica prada nylon bags
Post a Comment