Friday, February 16, 2018

WAFANYAKAZI SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA WAFAIDIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI SIDO

Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam Macdonald Maganga akitoa mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.
 Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam Macdonald Maganga akitoa mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.

Dk Yotham Mackenzie wa Shirika la Nyumba la Taifa akihitimisha na kuwashkuru wawekezaji kutoka Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam baada ya ku mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.
Sehemu ya Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kutoka idara mbalimbali wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam Macdonald Maganga aliyekuwa akitoa mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kutoka idara mbalimbali wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam Macdonald Maganga aliyekuwa akitoa mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kutoka idara mbalimbali wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam Macdonald Maganga aliyekuwa akitoa mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.
 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kutoka idara mbalimbali wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam Macdonald Maganga aliyekuwa akitoa mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.
Sehemu ya wawezeshaji wakiongozwa za Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam Macdonald Maganga aliyekuwa akitoa mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.
 Sehemu ya Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kutoka idara mbalimbali wakifuatilia mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) mkoa wa Dar es Salaam Macdonald Maganga aliyekuwa akitoa mada ya "NAMNA YA KUWA MJASIRIAMALI" ikiwa ni suluhu ya kuweza kujimudu kuwa mjasiriamali kivitendo na kuweza kujiendeleza kimaisha.

No comments:

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKITUNUKIWA NISHANI YA HESHIMA YA JUU YA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI (THE GRAND CORDON)

Dar es Salaam, 14 Agosti 2025  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Nish...