Thursday, February 08, 2018

NYUMBA ZA MAKAZI NHC MWONGOZO BEACH ESTATE ZAKAMILIKA

Timu ya wataalamu wa Shirika la Nyumba la Taifa wakikagua umaliziaji wa hatua za mwisho mwisho nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi.

Afisa Mwandamizi wa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Joseph Haule akikagua umaliziaji wa hatua za mwisho mwisho nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi.
Timu ya wataalamu wa Shirika la Nyumba la Taifa wakikagua umaliziaji wa hatua za mwisho mwisho nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi.
Mwonekano wa nje wa nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi. Nyumba hizo zimewekewa mitaro ya kupitishia maji ya mvua, barabara pana za kutosha na mfumo wa kisasa wa kupitisha maji taka.
Timu ya wataalamu wa Shirika la Nyumba la Taifa wakikagua umaliziaji wa hatua za mwisho mwisho nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi.
Timu ya wataalamu wa Shirika la Nyumba la Taifa wakikagua umaliziaji wa hatua za mwisho mwisho nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi.
Timu ya wataalamu wa Shirika la Nyumba la Taifa wakikagua umaliziaji wa hatua za mwisho mwisho nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi.
Mwonekano wa nje wa nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi. Nyumba hizo zimewekewa mitaro ya kupitishia maji ya mvua, barabara pana za kutosha na mfumo wa kisasa wa kupitisha maji taka.

Mwonekano wa nje wa nyumba za Mwongozo Beach Estate zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa na kuuzwa kwa wananchi. Nyumba hizo zimewekewa mitaro ya kupitishia maji ya mvua, barabara pana za kutosha na mfumo wa kisasa wa kupitisha maji taka.

No comments:

UWEKEZAJI USAFIRI KANDA YA ZIWA KUCHOCHEA UCHUMI, WAWEKEZAJI WAHIMIZWA KUTUMIA FURSA

  Na Baltazar Mashaka, Mwanza Serikali imesema uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa katika sekta ya usafiri na usafirishaji Kanda ya Ziwa...