Friday, December 19, 2008

Mgonja atoka lupango





Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Gray Mgonja, leo alifikishwa tena Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Mbele ya Mheshimiwa Henzroni Mwankenja kushughulikia suala la dhamana ambalo ilifanikiwa baada ya mawakili wake kuwasilisha hati ya nyumba sita pamoja na Hati ya kusafiria ya mshitakiwa, pichani Mgonja akiwasalimia ndugu zake wakati akiingizwa mahakamani hapo.Picha za http://www.globalpublisherstz.com

1 comment:

Anonymous said...

[url=http://vioperdosas.net/][img]http://vioperdosas.net/img-add/euro2.jpg[/img][/url]
[b]filemaker pro 10 bible, [url=http://sapresodas.net/]cheap adobe cs3 software[/url]
[url=http://sapresodas.net/]sms store software[/url] old microsoft software quarkxpress document troubleshooting
buy dreamweaver templates [url=http://vioperdosas.net/]student discount computer software[/url] acdsee standard
[url=http://vioperdosas.net/]sell your software online[/url] cheap software com
[url=http://sapresodas.net/]academic software office[/url] Mac OS v10
oem software sites [url=http://vioperdosas.net/]shop manager software[/url][/b]