Tuesday, December 09, 2008

Mchezo wa bao


Nimaarufu saana mchezo huu ukichezwa na watu wa rika mbalimbali na katika nyakati tofauti, ni mchezo wa kijadi na aliupendelea sana hayati Mwalimu Julius kambarage Nyerere, hebu cheki watoto sijui wanacheza au wanazuga!

Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao mu...