Tuesday, December 09, 2008

Mchezo wa bao


Nimaarufu saana mchezo huu ukichezwa na watu wa rika mbalimbali na katika nyakati tofauti, ni mchezo wa kijadi na aliupendelea sana hayati Mwalimu Julius kambarage Nyerere, hebu cheki watoto sijui wanacheza au wanazuga!

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...