Tuesday, December 09, 2008

Mchezo wa bao


Nimaarufu saana mchezo huu ukichezwa na watu wa rika mbalimbali na katika nyakati tofauti, ni mchezo wa kijadi na aliupendelea sana hayati Mwalimu Julius kambarage Nyerere, hebu cheki watoto sijui wanacheza au wanazuga!

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...