Friday, December 19, 2008

Kijarida Cha Cheche Mitaani-Jinsi walivyoitafuna ATCL


Je ATCL imefikaje hapa hadi kujikuta inasimamisha huduma yake? Ni kwanini shirika la IATA liamue kuisimamisha ATCL? Je ni kweli tatizo la ATCL ni fedha! Umesikia kuhusu Dowans na jaribio lililofeli la kujaribu kuitengenezea mshiko licha ya kampuni hiyo kurithi mkataba usio halali wa Richmond?
Umewahi kusoma maoni ya Rev.Kishoka (Waumini wake wako kwenye mtandao!)? Vipi kuhusu hoja za nguvu zisizo na kigugumizi za mwanakijiji na mawazo ya kina ya Dada Jessy? Kama umejibu "hapana" kwenye swali lolote hapo juu basi wewe ni miongoni mwa watu ambao hawajapata nafasi ya kusoma kijarida cha bure, huru, na kinachotubutu zaidi cha "Cheche za Fikra". Unaweza kujisomea kwenye mtandao wa habari wa
http://www.forums.mwanakijiji.com/forumdisplay.php?f=62 au unaweza kujiandikisha kupata kijarida hicho kwenye email yako kila wiki kwa kuomba kutumiwa kijarida hicho kwa kutuma ombi la kuandikishwa kupitia klhnews@gmail.com
Na sisi tunaweza!
Twende na tuwe "Cheche"Mhariri!

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...