KWA MUJIBU wa taarifa ambazo tumezipata Mwili wa Marehemu Herry Makange umeagwa leo hapa jijini Dar es Salaam nyumbani kwa Mzee Mponzi ( Baba Mkwe wake) Oysterbay Mtaa wa Msasani nyumba N0 35 saa 6 hadi saa 8 mchana na baadae mwili wa Marehemu utasafirishwa hadi Kibaha Vigaeni nyumbani kwao kwa maazishi yatakayo fanyika huko huko Kibaha. (Picha ya Mrocky Mrocky)
Friday, December 19, 2008
Herry Makange aagwa
KWA MUJIBU wa taarifa ambazo tumezipata Mwili wa Marehemu Herry Makange umeagwa leo hapa jijini Dar es Salaam nyumbani kwa Mzee Mponzi ( Baba Mkwe wake) Oysterbay Mtaa wa Msasani nyumba N0 35 saa 6 hadi saa 8 mchana na baadae mwili wa Marehemu utasafirishwa hadi Kibaha Vigaeni nyumbani kwao kwa maazishi yatakayo fanyika huko huko Kibaha. (Picha ya Mrocky Mrocky)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao mu...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment