Friday, December 19, 2008

Herry Makange aagwa



Ndugu jamaa na marafiki wakimfariji mjane wa marehemu

KWA MUJIBU wa taarifa ambazo tumezipata Mwili wa Marehemu Herry Makange umeagwa leo hapa jijini Dar es Salaam nyumbani kwa Mzee Mponzi ( Baba Mkwe wake) Oysterbay Mtaa wa Msasani nyumba N0 35 saa 6 hadi saa 8 mchana na baadae mwili wa Marehemu utasafirishwa hadi Kibaha Vigaeni nyumbani kwao kwa maazishi yatakayo fanyika huko huko Kibaha. (Picha ya Mrocky Mrocky)

No comments:

NGORONGORO YATOA ELIMU YA UHIFADHI SHIRIKISHI NA KUHAMASISHA UTALII MASHULENI

  Na Mwandishi Wetu, Karatu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea na programu ya kutoa elimu ya uhifadhi shirikishi na kuhamasiha utal...