KWA MUJIBU wa taarifa ambazo tumezipata Mwili wa Marehemu Herry Makange umeagwa leo hapa jijini Dar es Salaam nyumbani kwa Mzee Mponzi ( Baba Mkwe wake) Oysterbay Mtaa wa Msasani nyumba N0 35 saa 6 hadi saa 8 mchana na baadae mwili wa Marehemu utasafirishwa hadi Kibaha Vigaeni nyumbani kwao kwa maazishi yatakayo fanyika huko huko Kibaha. (Picha ya Mrocky Mrocky)
Friday, December 19, 2008
Herry Makange aagwa
KWA MUJIBU wa taarifa ambazo tumezipata Mwili wa Marehemu Herry Makange umeagwa leo hapa jijini Dar es Salaam nyumbani kwa Mzee Mponzi ( Baba Mkwe wake) Oysterbay Mtaa wa Msasani nyumba N0 35 saa 6 hadi saa 8 mchana na baadae mwili wa Marehemu utasafirishwa hadi Kibaha Vigaeni nyumbani kwao kwa maazishi yatakayo fanyika huko huko Kibaha. (Picha ya Mrocky Mrocky)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA
Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment