Mkazi huyu wa mkoa wa Arusha alikutwa akiwa amelala ndani ya mtaro huku akiwa
hajitambui jirani na kituo kikuu cha polisi mkoani hapa.Wapita njia walisema kuwa
mtu huyo alikuwa amelala baada kunywa pombe akisherehekea sikukuu ya krismas.(picha
na Hemed Kivuyo)
Friday, December 26, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NGORONGORO YATOA ELIMU YA UHIFADHI SHIRIKISHI NA KUHAMASISHA UTALII MASHULENI
Na Mwandishi Wetu, Karatu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea na programu ya kutoa elimu ya uhifadhi shirikishi na kuhamasiha utal...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment