Friday, December 26, 2008

jamaa na mambo ya krismasi


Mkazi huyu wa mkoa wa Arusha alikutwa akiwa amelala ndani ya mtaro huku akiwa
hajitambui jirani na kituo kikuu cha polisi mkoani hapa.Wapita njia walisema kuwa
mtu huyo alikuwa amelala baada kunywa pombe akisherehekea sikukuu ya krismas.(picha
na Hemed Kivuyo)

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...