Friday, December 26, 2008

jamaa na mambo ya krismasi


Mkazi huyu wa mkoa wa Arusha alikutwa akiwa amelala ndani ya mtaro huku akiwa
hajitambui jirani na kituo kikuu cha polisi mkoani hapa.Wapita njia walisema kuwa
mtu huyo alikuwa amelala baada kunywa pombe akisherehekea sikukuu ya krismas.(picha
na Hemed Kivuyo)

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...