Saturday, October 21, 2006

Dege lililoshusha mitambo ya Richmond

Hapa inaonekana mitambo ikitolewa kupitia mbele ya ndege. Picha hii imepigwa na Mpoki Bukuku maarufu kama Mzee wa Sumo kwa picha zaidi mwaweza kumcheki kwa kubonya hapabaadaye katika mtandao wake)

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...