Saturday, October 21, 2006

Haya jenereta hizoo za Richmond hizoooo



Bosi wa Richmond Development Company nchini, Naeem Gire akikagua shehena ya majenereta yaliyowasili nchini leo. (Picha hii imepigwa na Mpoki Bukuku maarufu kama Mzee wa Sumo kwa picha zaidi mwaweza kumcheki kwa kubonya hapabaadaye katika mtandao wake)

No comments:

RAIS MWINYI: SMZ KUIMARISHA MFUMO WA KIDIGITALI KATIKA KUDHIBITI AJALI NA MAKOSA YA BARABARANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumiz...