Friday, October 06, 2006

Dar es Salaam angani



Unapokua angani ukikaribia kutua nchi za wanyonyaji unaona kabisa vijimitaa vimejipanga kama ni barabara unaona na hata ukikaa ghorofani unaiona tofauti hiyo angalia hapa katika picha iliyopigwa na Deus Mhagale namna sehemu hii ya jiji inavyoonekana.

2 comments:

mloyi said...

Panashangaza hapa, Sijui lini hivyo vibanda vitapotea mjini kwetu! ila woga wangu visije potea na 'waswahili' pia tukapotea mjini! na Dar ikapata wenyeji wapya.

mzee wa mshitu said...

Hahahahaha hapa Mloyi umenifurahisha, aisee ni kweli kabisa haya maisha tunayoishi ndiyo yametufikisha hapa, na haki ya Mungu kama unavyosema baada ya muda vibanda hivi vitakuwa vikipatikana huko pembezoni.