Monday, October 02, 2006

Wamachinga



Mfanyabiashara katika mtaa wa Zanaki akiwa kajishika kicha akisikitika baada la tingatinga la jiji kuanza kubomoa kibanda chake saa 8:30 Usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita katika operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara jijini Dar es Salaam. Picha hii ilipigwa na Edwin Mjwahuzi

1 comment:

luihamu said...

KWANI MR. EBBO KAKOSEA(KAMONGO UMEMFANYANINI PEGERE)?IPO SIKU MVUA YA JAH ITANYESHA.

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...