
Mfanyabiashara katika mtaa wa Zanaki akiwa kajishika kicha akisikitika baada la tingatinga la jiji kuanza kubomoa kibanda chake saa 8:30 Usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita katika operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara jijini Dar es Salaam. Picha hii ilipigwa na Edwin Mjwahuzi
1 comment:
KWANI MR. EBBO KAKOSEA(KAMONGO UMEMFANYANINI PEGERE)?IPO SIKU MVUA YA JAH ITANYESHA.
Post a Comment