RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya msahafu na
Mwanazuoni Maarufu Zanzibar Sheikh.Ali Hemed Jabir (Mwalimu Aliyani)
ambae ni Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mchangani, Wilaya ya Mjini Unguja
Jijini Zanzibar 8-2-2025,baada ya kumaliza mazungumzo alipofika
nyumbani kwake mtaa wa mchangani kwa ajili ya kumtembelea na kumjulia
hali yake.(Picha na Ikulu).
Monday, February 10, 2025
RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AMTEMBELEA MWALIMU ALIYANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...





No comments:
Post a Comment