Saturday, February 01, 2025
CCM ARUSHA WAUNGA MKONO AZIMIO, RAIS SAMIA NA RAIS MWINYI WAGOMBEA PEKEE 2025
Na Vero Ignatus,Arusha
MAELFU ya Wananchi wa Mkoa wa Arusha leo Jumamosi Februari 1, 2025 wamejitokeza kwa wingi kwenye tukio la kuunga Mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi la Januari 19, 2025 lililomuidhinisha Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania na Dkt. Hussein Mwinyi wa Zanzibar, kuwa wagombea Urais kupitia CCM katika Uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu.
Chama Cha Mapinduzi CCM mkoa wa Arusha leo Jumamosi wamefanya Mkutano Mkubwa wa hadhara kwenye viwanja vya Kilombero Jijini Arusha ili kuunga Mkono azimio hilo, wakati huu ambapo Chama hicho tawala kikiendelea na shamrashamra za kuelekea miaka 48 ya kuzaliwa kwake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...




No comments:
Post a Comment