Saturday, February 01, 2025
CCM ARUSHA WAUNGA MKONO AZIMIO, RAIS SAMIA NA RAIS MWINYI WAGOMBEA PEKEE 2025
Na Vero Ignatus,Arusha
MAELFU ya Wananchi wa Mkoa wa Arusha leo Jumamosi Februari 1, 2025 wamejitokeza kwa wingi kwenye tukio la kuunga Mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi la Januari 19, 2025 lililomuidhinisha Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania na Dkt. Hussein Mwinyi wa Zanzibar, kuwa wagombea Urais kupitia CCM katika Uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu.
Chama Cha Mapinduzi CCM mkoa wa Arusha leo Jumamosi wamefanya Mkutano Mkubwa wa hadhara kwenye viwanja vya Kilombero Jijini Arusha ili kuunga Mkono azimio hilo, wakati huu ambapo Chama hicho tawala kikiendelea na shamrashamra za kuelekea miaka 48 ya kuzaliwa kwake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa
Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment