Wednesday, November 13, 2024

WAZIRI KIKWETE, KAMATI YA BUNGE USTAWI WA JAMII WATEMBELEA VIWANDA DAR, PWANI


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete (Mb) ameongozana na  Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kutembelea Viwanda kukagua kazi ya kusimamia Usalama Mahala Pa Kazi katika Viwanda vya Elsewedy kilichopo Kigamboni,Dar Es Salaam na Knauf kilichopo Mkuranga, Pwani. Kamati ya Bunge imeridhishwa na kazi nzuri inayofanywa. #KaziInaendelea



No comments:

BILIONI 51 KUTUMIKA UJENZI WA BARABARA, MASOKO NA STENDI JIJINI ARUSHA

Mradi wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa...