Wednesday, November 13, 2024

WAZIRI KIKWETE, KAMATI YA BUNGE USTAWI WA JAMII WATEMBELEA VIWANDA DAR, PWANI


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete (Mb) ameongozana na  Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kutembelea Viwanda kukagua kazi ya kusimamia Usalama Mahala Pa Kazi katika Viwanda vya Elsewedy kilichopo Kigamboni,Dar Es Salaam na Knauf kilichopo Mkuranga, Pwani. Kamati ya Bunge imeridhishwa na kazi nzuri inayofanywa. #KaziInaendelea



No comments:

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...