Wednesday, November 13, 2024

WAZIRI KIKWETE, KAMATI YA BUNGE USTAWI WA JAMII WATEMBELEA VIWANDA DAR, PWANI


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete (Mb) ameongozana na  Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kutembelea Viwanda kukagua kazi ya kusimamia Usalama Mahala Pa Kazi katika Viwanda vya Elsewedy kilichopo Kigamboni,Dar Es Salaam na Knauf kilichopo Mkuranga, Pwani. Kamati ya Bunge imeridhishwa na kazi nzuri inayofanywa. #KaziInaendelea



No comments:

Rais Samia Kuzindua Usafirishaji wa Mizigo kwa SGR na Bandari ya Kwala

Na Mwandishi Wetu – MAELEZO, Kibaha - Pwani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua kuan...