Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (kulia) akizungumza na baadhi ya wadau mara baada ya ufunguzi rasmi wa 29 wa Nchi wa Wananchama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP29) katika Ukumbi wa Nizami uliopo katika viwanja vya Olympus Park, mjini Baku Jamhuri ya Azerbaijan, uliofunguliwa leo Novemba 11, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Novemba 22, 2024. Kushoto ni akiwa Mkurugenzi Msaidizi wa Mabadiliko ya Tabianchi na Tathimini Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Kanizio Manyika.
Monday, November 11, 2024
KATIBU MKUU LUHEMEJA AKISHIRIKI MKUTANO WA COP29
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (kulia) akizungumza na baadhi ya wadau mara baada ya ufunguzi rasmi wa 29 wa Nchi wa Wananchama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP29) katika Ukumbi wa Nizami uliopo katika viwanja vya Olympus Park, mjini Baku Jamhuri ya Azerbaijan, uliofunguliwa leo Novemba 11, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Novemba 22, 2024. Kushoto ni akiwa Mkurugenzi Msaidizi wa Mabadiliko ya Tabianchi na Tathimini Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Kanizio Manyika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment