Monday, November 11, 2024

KATIBU MKUU LUHEMEJA AKISHIRIKI MKUTANO WA COP29


Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja (kulia) akizungumza na baadhi ya wadau mara baada ya ufunguzi rasmi wa 29 wa Nchi wa Wananchama wa Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP29) katika Ukumbi wa Nizami uliopo katika viwanja vya Olympus Park, mjini Baku Jamhuri ya Azerbaijan, uliofunguliwa leo Novemba 11, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Novemba 22, 2024. Kushoto ni akiwa Mkurugenzi Msaidizi wa Mabadiliko ya Tabianchi na Tathimini Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Kanizio Manyika.

No comments:

BILIONI 51 KUTUMIKA UJENZI WA BARABARA, MASOKO NA STENDI JIJINI ARUSHA

Mradi wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa...