Monday, November 11, 2024
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA TISA WA TICAD 9 NCHINI JAPAN
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni miongoni mwa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) zinazoshiriki katika Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment