Friday, April 06, 2007

Mbadala wa RVF



Kutokana na ongezeko la ugongwa wa homa ya bonde la ufa hivi sasa kuku ay vyuku vinalika ile mbaya, hapa lori lililojaa vyuku likiingia mjini. Picha ya Fredrick Felix.

1 comment:

Anonymous said...

Kuku sasa hivi ni bei mbaya sana nasikia maana kkuna ndugu yangu yuko hapo Dar ananiambia kwamba kuku wamenunua kwa sh. 15, 000 kwa mmoja.

Makamu wa Rais wa Tanzania Afika Addis Ababa Kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi

Addis Ababa, Ethiopia – 07 Septemba 2025 – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango , amewasili leo mjini Addi...