Monday, April 16, 2007

Miss Universe Tanzania


Miss Universe Tanzania, Flaviana Francis Matata, katika pozi baada ya kuvishwa taji hilo juzi kwenye Hoteli ya Movenpick Dar es Salaam. Hongera kwa ushindi huu mdogo wangu.

2 comments:

MTANZANIA. said...

Binti! Hongera kwa ushindi. Ushauri wangu kwako ni kwamba kazana na masomo pia kwani dunia ya sasa ELIMU ni muhimu.

Charahani!
Kuna mashindano yoyote ambayo huyu dada ataiwakilisha nchi?

ARAWAY Media Tanzania said...

Okay safi bwana Mtanzania huyu binti bwana atashiriki mashindano ya Dunia ya Miss Universe yatakayofanyika Mexico hivi karibuni.

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...