Thursday, April 26, 2007

Muungano oyeeeee!!!

Katika hali ya kawaida na hasa kwa vijitaifa vyetu hivi vichanga vya dunia ya tatu ni nadra sana kwa waheshimiwa walioshika mipini ya visu kama hawa kukaa na kucheka hivi, hebu mtizame Maalima Seif, Lipumba na kisha mzee mkali na kina Saleh Pamba walivyokenua meno, hapa ni katika sherehe za sikukuu ya muungano. Picha ya Deus Mhagale.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...