Mtaa wa Samora karibu kabisa na mnara wa saa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
3 comments:
nasikia majengo dizaini hii yote yanapigwa chini na kujengwa mapya. ila sijasikia kama parking na drainage system itakuwa mpya...
yeahhh hilo nimelisikia mzee lakini si Manji pale alitaka kubomoa ile Salamander wakamkatalia wakamweleza kuwa ni eneo la hifadhi ya makumbusho ya kale, kama sikosei na wewe mzee ni member wa hii kamati ya makumbusho au upo nyingine.
Planning ni tatizo kubwa katika nchi yetu. Mm naona mamlaka husika huwa zinarusu ujenzi kwanza na baadaye zinafanya planning. Hii ni hatari kwani planning ndio kitu cha msingi. Vinginevyo matatizo ya ubomoaji, uchafu n.k hayataisha.
Post a Comment