Saturday, April 07, 2007

Mnazi mmoja uko wapi vile

Mnazi Mmoja

2 comments:

Evarist Chahali said...

Mzee nimepita hapa nyumbani kwako.Nimepapenda sana.
Bonge

ARAWAY Media Tanzania said...

Ahsante sana mzee unajua ndo najitahidi kuezeka makuti mvua bado inanivujia hata hivyo karibu sana kaka, huwa napita kwako pia.
Habari ya miaka mingi tangu tumalize chuo miaka ileee.

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...