Saturday, April 07, 2007

Mnazi mmoja uko wapi vile

Mnazi Mmoja

2 comments:

Evarist Chahali said...

Mzee nimepita hapa nyumbani kwako.Nimepapenda sana.
Bonge

ARAWAY Media Tanzania said...

Ahsante sana mzee unajua ndo najitahidi kuezeka makuti mvua bado inanivujia hata hivyo karibu sana kaka, huwa napita kwako pia.
Habari ya miaka mingi tangu tumalize chuo miaka ileee.

CHUO KIKUU MZUMBE CHAPOKEWA MSAADA WA VITABU KUTOKA ACCA

  Chuo Kikuu Mzumbe kimepokea vitabu 69 vya kufundishia na kujifunzia kutoka Association of Chartered Certified Accountants (ACCA) kupitia o...