Saturday, April 07, 2007

Mnazi mmoja uko wapi vile

Mnazi Mmoja

2 comments:

Evarist Chahali said...

Mzee nimepita hapa nyumbani kwako.Nimepapenda sana.
Bonge

ARAWAY Media Tanzania said...

Ahsante sana mzee unajua ndo najitahidi kuezeka makuti mvua bado inanivujia hata hivyo karibu sana kaka, huwa napita kwako pia.
Habari ya miaka mingi tangu tumalize chuo miaka ileee.

WANANCHI KAHAMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAFIKISHIA UMEME WA REA

  📌Vijiji vyote 246 na Vitongoji 479 Kahama vimefikiwa 📌Shughuli za kiuchumi na kijamii zimeimarika 📌Naibu Waziri Salome awahakikishia vi...