Friday, April 06, 2007

Mbadala wa RVF



Kutokana na ongezeko la ugongwa wa homa ya bonde la ufa hivi sasa kuku ay vyuku vinalika ile mbaya, hapa lori lililojaa vyuku likiingia mjini. Picha ya Fredrick Felix.

1 comment:

Anonymous said...

Kuku sasa hivi ni bei mbaya sana nasikia maana kkuna ndugu yangu yuko hapo Dar ananiambia kwamba kuku wamenunua kwa sh. 15, 000 kwa mmoja.

Dkt. Samia: Tumeweka fedha nyingi katika Umwagiliaji kukabili Mabadiliko ya Tabianchi

Rais Dkt .Samia Suluhu Hassan, amesema katika kufikia azma ya mapinduzi sekta ya kilimo Serikali imechukua hatua ya kufanya uwekezaji mkubwa...