
Monday, April 03, 2006
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Leo Tarehe 29 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Said Shaib Mussa am...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
6 comments:
karibu mzee wa mshitu. nafurahi ila sio sana kwani nilipoona hilo sony cybershot nikajua kutakuwa na masnepu. fanya basi ubandike na picha. ila karibu sana, ubarikiwe
Mzee wa Mshitu hiyo ni darubini kali au ni nini? Maana zama hizi za Kikwete unapaswa kuwa nayo kila mara maana anaweza kukuvamia mzigoni kwako bila kuwa na taarifa lakini kama una darubini kama hilo unamcheki anakuja kisha unaingia mzigoni na kujipanga kama unalia vile.
Bwana michuzi kwanini usifurahi mzee, lazima ufurahi maana kuna jamaa wanadai kuwa eti usipokuwa na furaha inapunguza maisha. Halafu hiyo Cybershot isikutishe ni mkwara tu.
Masnepu mbona yapo kibao ttu mwanangu yapo katika albamu, lakini ndiyo naanza si unajua tena mwanzo wa ngoma ni lele nimetembelea blogu yako mzee si kawaida inatisha.
Makene mambo vipi kwanza habari ya leo bila shaka ni njema hicho ni kiona mbali kama kile cha marehemu Conrad Dustan na tofauti kati ya hiki na kile ni kule kunasa vijisura vya watu.
Bwana Jk mambo yake si ya kawaida moto anaokwenda nao unatisha.
hii picha mbona haina caption? anayeonekana hapo alikuwa anashangaa kamera? anapiga picha? anajifunza? alikuwa anafanya nini?
Reginald bila shaka majibu yote ya swali lako yanaweza kuwa ndiyo jibu. Halafu mshkaji umekuwa kama umeota sababu kuiingiza hiyo picha hapo na ikakaa ilinichukua siku kadhaa kuusoma mtandao na hatimaye nikafanikiwa.
Lakini lengo langu halikuwa kuiweka hapo nilitaka picha hiyo ikae kama picha binafsi. Hebu nisaidie namna ya kufanya iweze kutinga katika kiboksi.
Wakati naweka picha yangu kwenye blogu, ilikuwa ni kasheshe. Pamoja na kwamba Ndesanjo alikuwa amenipa maelekezo ya kutosha bado ilinitia kizunguzungu.
Hapo ulipofikia Mzee ni karibu sana na unakokutaka. Tafuta kodi za hiyo picha, afu mbele kwa mbele...atakueleza Ndesanjo najua. (Huyu bwana sijui atazawadiwa na nani. Kazi anayofanya du!)
Kuna dalili kuwa nyumba hii itakuwa na picha za hapa na pale. Hiyo kamera sio ya bure. Ni mawingu.
Post a Comment