Wednesday, April 19, 2006
Huyu sijui ni Nyarubanja au vipi?
Haya tena kumekucha uwanja wa blogu unazidi kuvamiwa tena kwa nguvu ya ajabu, tunaye mwanablogu mpya kutoka hapa katika kijiji chetu cha Mwananchi, huyu si mwingine ni Midraji Ibrahimu, huyu kwa wasiyo mfahamu alishiriki kwa kiasi kikubwa kumpigia debe Mzee wa Standard and speed, lakini bahati mbaya akabwagwa katika kambi yake nyingine ya Mzee Malecela, waweza kumpata kwa kutembelea hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
2 comments:
charahani unafanya kazi kubwa sana hapo Tanzania kwa sasa. Unajua kimzaha mzaha tutakapoanza kutoa tuzo za Magazeti Tando Mwananchi itakuwa inabeba kila sekta wewe waache wajanja tujichukulie chati wao watafatia
Makene
Hilo umesema kweli huu ni wajibu wetu kwa kweli inabidi tuwachangamshe jamaa zetu wa hapa ili kusudi haya mapinduzi ya kweli ya sayansi na teknolojia yafike mbali kwa kasi.
Naona Ndesanjo ameshaandika makala kama tatu hivi kuhusu Blogu. Kazungumzia kwa kina sasa watu wajibu wao ni kuchimbua, makala zinaonekana kuwavutia wengi juzi wengine wamenifikia kuniuliza kumbe blogu ndivyo zilivyo bila shaka hawa nao wataingia mtandaoni muda si mrefu.
Post a Comment