Wednesday, April 19, 2006
Huyu sijui ni Nyarubanja au vipi?
Haya tena kumekucha uwanja wa blogu unazidi kuvamiwa tena kwa nguvu ya ajabu, tunaye mwanablogu mpya kutoka hapa katika kijiji chetu cha Mwananchi, huyu si mwingine ni Midraji Ibrahimu, huyu kwa wasiyo mfahamu alishiriki kwa kiasi kikubwa kumpigia debe Mzee wa Standard and speed, lakini bahati mbaya akabwagwa katika kambi yake nyingine ya Mzee Malecela, waweza kumpata kwa kutembelea hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC CHALAMILA ATOA SIKU SABA KWA MUAFAKA WA MGOGORO WA ARDHI TOANGOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, ametoa muda wa siku saba kwa wadau wanaohusika na mgogoro wa muda mrefu wa ardhi katik...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
2 comments:
charahani unafanya kazi kubwa sana hapo Tanzania kwa sasa. Unajua kimzaha mzaha tutakapoanza kutoa tuzo za Magazeti Tando Mwananchi itakuwa inabeba kila sekta wewe waache wajanja tujichukulie chati wao watafatia
Makene
Hilo umesema kweli huu ni wajibu wetu kwa kweli inabidi tuwachangamshe jamaa zetu wa hapa ili kusudi haya mapinduzi ya kweli ya sayansi na teknolojia yafike mbali kwa kasi.
Naona Ndesanjo ameshaandika makala kama tatu hivi kuhusu Blogu. Kazungumzia kwa kina sasa watu wajibu wao ni kuchimbua, makala zinaonekana kuwavutia wengi juzi wengine wamenifikia kuniuliza kumbe blogu ndivyo zilivyo bila shaka hawa nao wataingia mtandaoni muda si mrefu.
Post a Comment