Tuesday, August 07, 2018

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LATOA ELIMU NANE NANE NYAKABINDI, SIMIYU

 Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Aika Swai akiwaelekeza jambo kwa Wananchi waliofika kwenye banda la maonyesho ya Nane Nane la Shirika la Nyumba Nyakabindi mkoani Simiyu . Maonesho hayo yatafikia kilele chake kesho.
Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Jason Ipyana akitoa maelezo kwa mmoja wa Wananchi waliofika kwenye banda la maonyesho ya Nane Nane la Shirika la Nyumba Nyakabindi mkoani Simiyu . Maonesho hayo yatafikia kilele chake kesho.
 Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Jason Ipyana akitoa maelezo kwa mmoja wa Wananchi waliofika kwenye banda la maonyesho ya Nane Nane la Shirika la Nyumba Nyakabindi mkoani Simiyu . Maonesho hayo yatafikia kilele chake kesho.
 Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Rhobi Wambura akiwaelekeza jambo kwa Wananchi waliofika kwenye banda la maonyesho ya Nane Nane la Shirika la Nyumba Nyakabindi mkoani Simiyu . Maonesho hayo yatafikia kilele chake kesho.
  Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Rhobi Wambura akiwaelekeza jambo kwa Wananchi waliofika kwenye banda la maonyesho ya Nane Nane la Shirika la Nyumba Nyakabindi mkoani Simiyu . Maonesho hayo yatafikia kilele chake kesho.

Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Jason Ipyana akitoa maelezo kwa mmoja wa Wananchi waliofika kwenye banda la maonyesho ya Nane Nane la Shirika la Nyumba Nyakabindi mkoani Simiyu . Maonesho hayo yatafikia kilele chake kesho.

 Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Rhobi Wambura akiwaelekeza jambo kwa Wananchi waliofika kwenye banda la maonyesho ya Nane Nane la Shirika la Nyumba Nyakabindi mkoani Simiyu . Maonesho hayo yatafikia kilele chake kesho.

 Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza, Joseph John katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka

Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka (watatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wa juu wa mkoa baada ya kuzuru viwanja vilivyotengwa kwaajili ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu eneo la Katenga - Isanga wilayani Bariadi. Kusoto ni MC Peter Mavunde ambaye ni mzee maarufu sana nchini na wa pili kutoka kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Nchini (TTCL), Waziri Kindamba.



Meneja wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoa wa Mwanza katika picha ya pamoja na Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka (watatu kutoka kushoto) pamoja na viongozi wengine wa juu wa mkoa baada ya kuzuru viwanja vilivyotengwa kwaajili ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu eneo la Katenga - Isanga wilayani Bariadi. Kusoto ni MC Peter Mavunde ambaye ni mzee maarufu sana nchini na wa pili kutoka kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Nchini (TTCL), Waziri Kindamba.

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...