Friday, August 31, 2018

KAIMU MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA:TUTAKAMILISHA MIRADI YOTE 38

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii, Susan Omari akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kuwashukuru na kuwaaga. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Migodi, Nishati, Ujenzi na kazi nyinginezo (TAMICO) tawi la NHC, Lilian Reuben akizungumza na wafanyakazi katika kikao hicho cha Mkurugenzi Mkuu.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.

No comments: