Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii, Susan Omari akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kuwashukuru na kuwaaga. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Migodi, Nishati, Ujenzi na kazi nyinginezo (TAMICO) tawi la NHC, Lilian Reuben akizungumza na wafanyakazi katika kikao hicho cha Mkurugenzi Mkuu.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na Fitch Ratings Ltd amb...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
No comments:
Post a Comment