Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii, Susan Omari akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kuwashukuru na kuwaaga. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Sehemu ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa waliokuwa wakifuatilia kikao hicho jana. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Migodi, Nishati, Ujenzi na kazi nyinginezo (TAMICO) tawi la NHC, Lilian Reuben akizungumza na wafanyakazi katika kikao hicho cha Mkurugenzi Mkuu.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza katika kikao chake na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika kikao cha Mkurugenzi Mkuu cha mwaka ambacho hufanyika mara mbili kwa Mwaka. Katika Kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mkuu alizungumzia hali ya utendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa pamoja na vipaumbele vyake katika mwaka huu wa fedha pamoja na kukumbushana baadhi ya mambo yanayotokea ndani ya Shirika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
VIONGOZI NA WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA IBADA YA KUMUOMBEA HAYATI JOB NDUGAI – KONGWA
KONGWA – Viongozi wa kitaifa, wa kidini, pamoja na mamia ya wananchi wa Wilaya ya Kongwa na maeneo mengine nchini wamejitokeza kwa wingi leo...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment